Quotation Explorer - 'Budi'

Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. - Enock Maregesi
Kanuni za fasihi ndiyo msingi wa maandiko yote ya kitaalamu hapa ulimwenguni. Watu hawana budi kuzifuata kanuni hizo kama wanataka kutumia vipaji vyao katika ngazi ya kimataifa. - Enock Maregesi
If I were a flower, then now I’d be a budI shall treasure the beginning of my youth withoutany regrets - Kifuji Aya
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]