Quotation Explorer - 'Aibu'

Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. - Enock Maregesi
Ukitaka kutambulika usione aibu. - Enock Maregesi
Hasanati ni matendo mema. Mema yanatoka kwa Mungu. Mabaya yanatoka kwa Shetani. Mke mwema anatoka kwa Mungu. Mke mbaya anatoka kwa Shetani. Mke mwema ana hekima na busara, ana maadili na tabia njema, ana utu na uchapakazi, ana wema na upendo, na ana aibu kwa wanaume. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]