Quotation Explorer - 'Kuheshimiana'

Migogoro inatokea kwa sababu watu wameshindwa kuheshimiana. Ukijiheshimu na ukaheshimu wengine; utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta, wakati ukiingia. - Enock Maregesi
Mungu alitengeneza familia. Alitengeneza koo, makabila na mataifa, ili watu wajuane na kuheshimiana. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]