Quotation Explorer - 'Ili'

Covek- ima razne moci. Moc racionalnog razmisljanja. Moc razlikovanja dobrog od loseg. Moc maste i kreativnosti. I toliko drugih moci koje otkrijemo ili pak, nikada ne saznamo da imamo. - Tamara Stamenkovic
Mwachie mwanao urithi wa kutosha ili aweze kufanya kitu, lakini si urithi wa kutosha ili asiweze kufanya kitu. - Enock Maregesi
Maamuzi ya Adamu na Hawa ya kutokumtii Mungu juu ya Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya, ndiyo yaliyosababisha Yesu Kristo ajitolee maisha yake ili wengine waweze kuishi. Hakuna Mungu bila Yesu. Mtafute Yesu, kukomboa sura na asili ya Mungu. - Enock Maregesi
Secanja su previse bitna.Bila dobra ili losa, pamtite ih. - Tamara Stamenkovic
Kada smo u kontaktu sa drugim čovekom, mi mu ili pomažemo ili smetamo. Nema trećeg: ili ga vučemo na dole, ili ga izvlačimo na površinu. - Booker T. Washington
Mungu alikupa vipaji ili uwanufaishe wengine na si kujinufaisha mwenyewe, na aliwapa wengine vipaji ili kukunufaisha wewe na si kujinufaisha wenyewe, kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya katika dunia yetu. - Enock Maregesi
Wape watoto wako urithi wa kutosha ili waweze kufanya kitu, lakini si urithi wa kutosha ili wasiweze kufanya kitu. Wape watoto uhuru wanaostahili kupata, uhuru wa mahesabu, lakini si uhuru wa kila kitu. - Enock Maregesi
Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia. - Enock Maregesi
„Kada se nađem u situaciji da mi je neprijatno ili da ne znam kako da odreagujem, ja se šalim. To je valjda postao i moj odbrambeni mehanizam da sakrijem strah i nesigurnost. - S.J. Abbo
Lengo la kuabudu ni kumtukuza, kumheshimu, kumsifia, kumfurahia, na kumpendeza Mungu. Ibada yetu lazima ionyeshe mapenzi ya kweli na uaminifu mkubwa kwa Mungu kwa ajili ya wema na rehema ambavyo ametupa kupitia Mwanaye wa Pekee aliyekufa msalabani, ili kutuokoa kutoka ubinafsini. - Enock Maregesi
Mungu alitengeneza familia. Alitengeneza koo, makabila na mataifa, ili watu wajuane na kuheshimiana. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]