Quotation Explorer - 'Kushauriwa'

Dikteta ni kiongozi anayetawala nchi kwa amri yake peke yake bila ya kushauriwa na mtu, hasa yule aliyeingia madarakani kwa mtutu wa bunduki. Dikteta uchwara si dikteta, ni dikteta nusu. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]