Quotation Explorer - 'Udadisi'

Udadisi ni kiboko cha ujinga. - Enock Maregesi
Nina matatizo ya kiafya: Udadisi wa hali ya juu wa kiakili. - Enock Maregesi
Kwa sababu ya udadisi wa hali ya juu nasoma kila kitu ninachokutana nacho hasa vile visivyonipendeza. Ukitaka kupata maarifa usisome tu vitabu vinavyokupendeza. Soma vitabu visivyokupendeza. - Enock Maregesi
Waandishi wanapaswa kuwa wadadisi, kama paka, ijapokuwa udadisi ni hatari. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]