Quotation Explorer - 'Wenzao'

Watu hubariki wenzao ambao ni wakarimu, na hulaani wenzao ambao ni wabahili. Ukiwa mkarimu kwa watu umekopa neema kutoka kwa Mungu, na Mungu atakulipa kutokana na matendo yako. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]