Quotation Explorer - 'Sana'

Ukiipenda sana nchi yako ni rahisi sana kuichukia serikali yake! - Enock Maregesi
Kutunza siri wakati mwingine ni kitu kigumu sana kwa baadhi ya watu lakini watu wanapaswa kuwa na uwezo wa kutunza siri kujijengea uaminifu, ambao ni siri ya mafanikio. - Enock Maregesi
For if u have positive attitude n creativeness u will always see a graveyard as a beautiful garden... - Sana
Mheshimu sana mtu aliyekupandisha juu kwa sababu utakaposhuka ndiye atakayekupokea, ijapokuwa unaweza usishuke kabisa au unaweza kushuka ukapokelewa na mtu mwingine baki, kwa kudura za Mwenyezi Mungu. - Enock Maregesi
orandum est ut sit mens sana in corpore sano. - Juvenal
Büyük öğretmenlerle buluşacağın bir gece okulu var: Gökyüzü! Gece olunca, okuldaki parlayan yıldızlar sana senin ne kadar küçük olduğunu ve bir egoya sahip olmanın ne denli gülünç olduğunu öğreteceklerdir! - Mehmet Murat ildan
Kula sana ni kujichimbia kaburi kwa meno yako mwenyewe. - Enock Maregesi
Ujasusi ni kitu cha muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote. Watu wanaoshughulika na ujasusi wanapaswa kuwa makini mno kwani kazi yao ni nyeti sana kulinganisha na kazi za watu wengine. Kosa dogo la kiusalama linaweza kubadili mwelekeo wa historia ya nchi. - Enock Maregesi
Sana ihtiyacim var, gel!'' diyebilmekmis güçlü olmak, Sana ''git'' dedigimde anladim.. Biri sana ''git'' dediginde, ''kalmak istiyorum'' diyebilmekmis sevmek, Git dediklerinde gittigimde anladim.. - Anonymous
Nitajisikia raha sana kufungwa kwa ajili ya matatizo watu. - Enock Maregesi
Aku di sini kamu di sana, tapi kita tetap bisa berpelukan dalam doa dan puisi. - Helvy Tiana Rosa
Babasız büyürsen âlemin bir merkezi ve sınırı olduğunu anlamaz, her şeyi yapabileceğini sanırsın...ama bir süre sonra ne yapacağını bilmez, dünyada bir mana, bir merkez bulmaya çalışır, sana hayır diyecek birini aramaya başlarsın. - Orhan Pamuk
Maumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida. - Enock Maregesi
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]