Quotation Explorer - 'Au'

Et maintenant, au coeur de la nuit comme un veilleur, il découvre que la nuit montre l'homme: ces appels, ces lumières, cette inquiétude. Cette simple étoile dans l'ombre: l'isolement d'une maison. L'une s'éteint: c'est une maison qui se ferme sur son amour. - Antoine de Saint-Exupéry
Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. - Enock Maregesi
Sentensi ni mkusanyiko wa maneno unaoanza na herufi kubwa na kuisha na alama ya kushangaa, kuuliza, au nukta. Sentensi bora ni fupi, angavu, sahihi, yenye mantiki, na kamilifu. - Enock Maregesi
Shetani hana uwezo wa kupandikiza chuki au upendo au kitu chochote ndani ya moyo wa mtu, bila mtu mwenyewe kupenda. - Enock Maregesi
Et voilà, mon passé n’est plus qu’un trou énorme. Mon présent: cette bonne au corsage noir qui rêve près du comptoir, ce petit bonhomme. Tout ce que je sais de ma vie, il me semble que je l’ai appris dans des livres. - Jean-Paul Sartre
Maisha ni kani au 'force' ya kipekee zaidi katika ulimwengu unaofahamika; achilia mbali changamani ('complexity') na kutapakaa ('diversity') zaidi kuliko kani zote! Ni tukio la ajabu kuliko matukio yote yaliyowahi kutokea. - Enock Maregesi
„E drept, explicaţiile nu au ce căuta într-o despărţire. Nu pot fi decât meschine. Adevărul nu e nicăieri. Oamenii inteligenţi simt asta. Fie spun pleacă pentru un timp si nu se mai întorc niciodată, fie dispar pur si simplu. Ce explici? La ce ajută? - Dan Lungu
Mimi ni mmoja kati ya wale wasiopenda maendeleo ya watu wachache au peke yako ndomana nimechagua mabadiliko katika maisha yangu sisubirii wanasiasa - Chrisper Malamsha
Kuwa mkristo wa kanisa au wa dini ni kughushi imani na kughushi imani ni dhambi kubwa. - Enock Maregesi
Unaanzaje ku judge kwanini nipo hivi wakati kila mtu ana uniqueness pengine nzuri au mbaya - Chrisper Malamsha
Grâce au rêve, nous pouvons tous être fous en toute quiétude chaque nuit de notre vie. - Charles A. Fisher
Mtu akikutukana mwambie asante au samahani. Asante au samahani vina nguvu kuliko kuomba (asikutukane) au kutukana. - Enock Maregesi
De retour au village, nous demandons aux Indiens : "Pourquoi n'avez-vous tué qu'un seul caïman ?" Le guide n'a pas l'air de comprendre. Nous reposons la question. Et le petit chasseur de répondre : "Il faut laisser des animaux pour nos fils et les fils de nos fils. - Christian Kempf
Lorsque tu verras une bonneD'enfants, et non autre personne,Assise au milieu d'un tenderOu wagon de chemin de fer,Découvres-toi sur son passage,Salut à son noble visage !MoralitéA bonne en tender, salut. "(Fables de Joinville) - Alphonse Allais
Kusaliti nchi, ambayo majeshi ya ulinzi na usalama yameundwa kuilinda, ni miongoni mwa makosa makubwa kabisa kuweza kufanywa na mtu! Adhabu yake ni kifungo cha maisha jela, au kunyongwa hadi kufa. - Enock Maregesi
Ce lui qui nage au milieu des flots ne se rend pas compte de l’immensité de la mer - Takehiko Inoue
Ukitaka kumsahau mtu au kitu usimchukie au usikichukie kwa sababu kuchukia kuna nguvu sawa na kupenda. - Enock Maregesi
Eternal snows are at the top. Eyes of beautiful are at the top. (Neiges éternelles sont au sommet. - Yeux de la belle sont au sommet.) - Charles de Leusse
L'homme est libre au moment qu'il veut l'être. - Voltaire
Kabbalah' ni sayansi ya Mti wa Uzima wa Milele wa Bustani ya Edeni au 'The Tree of Life of the Garden of Eden' katika mbingu ya nne, ambayo ni ramani ya ulimwengu na roho ya mwanadamu; au Sayansi ya Mungu, uchawi wa kujua 99% ya siri ya uumbaji wa Mungu. - Enock Maregesi
Vous craignez les livres comme certaines bourgades ont craint les violons. Laissez lire, et laissez danser; ces deux amusements ne feront jamais de mal au monde. - Voltaire
On aime sa mère presque sans le savoir, et on ne prend conscience de toute la profondeur des racines de cet amour qu au moment de la séparation dernière. - Guy de Maupassant
Kushirikiana na maadui wa nchi yetu ni hatia ya kosa la uhaini. Adhabu yake ni kifo, au kifungo cha maisha. - Enock Maregesi
Kama umefanya au umesema kitu kibaya na ukasema ukweli mbele ya mtu au ya watu, omba msamaha kupata tena kibali cha umma. - Enock Maregesi
Hutaweza kufikia malengo yako kikamilifu bila msaada wa wataalamu Hata kama una kipaji au ujuzi kiasi gani. - Enock Maregesi
Je reste optimiste tout en me préparant au pire, maman, ça te semble bien comme compromis ? - Alice Kuipers
Le citoyen doit-il un seul instant, dans quelque mesure que ce soit, abandonner sa conscience au législateur ?(LA DÉSOBÉISSANCE CIVILE) - Henry David Thoreau
Heri kuwa Mkristo wa Yesu Kristo, au Mwislamu wa Mtume Muhammad, kuliko kuwa mkristo wa kanisa au mwislamu wa msikiti. - Enock Maregesi
Soyons fermes, purs et fidèles ; au bout de nos peines, il y a la plus grande gloire du monde, celle des hommes qui n'ont pas cédé. [Let us be firm, pure and faithful; at the end of our sorrow, there is the greatest glory of the world, that of the men who did not give in.] - Charles de Gaulle
Kwa nini tuseme a.k.a na si k.k.k au k.n.k au k.a.k? Lazima tujifunze kuipenda na kuitetea lugha yetu kwa usumbufu wa vizazi vijavyo. - Enock Maregesi
I was glad to be made awarethat Veimke (jeune fille au pair),is subject to natural law,and can be made fat,by such things as poor diet,and alcohol. - Roman Payne
People conjugate to the present; politics to other tenses. (Peuple conjugue au présent; - Politique aux autres temps.) - Charles de Leusse
Unaweza kusaliti nchi kwa sababu za kiitikadi, kisiasa, matatizo ya akili, au pesa. Ukifanya hivyo na ukabainika; utawajibika kwa adhabu ya kifo, au maisha. - Enock Maregesi
Les sentiments de l'effort, correspondant à l'accélération, le sentiment de la fatigue correspondant au freinage, le sentiment de souffrance ou d'angoisse qui correspond au recul, enfin le sentiment de la jouissance qui correspond à l'arrêt avec décharge. - Pierre Janet
Ce que je sais de la morale, c'est au football que je le dois.(I know of morality, it is football that I owe.) - Albert Camus
Mheshimu sana mtu aliyekupandisha juu kwa sababu utakaposhuka ndiye atakayekupokea, ijapokuwa unaweza usishuke kabisa au unaweza kushuka ukapokelewa na mtu mwingine baki, kwa kudura za Mwenyezi Mungu. - Enock Maregesi
il faut laisser du temps au temps (you have to give time time - approximate translation)
Il y a les sachants et les savants: c'est la mémoire qui fait les uns, c'est la philosophie qui fait les autres. La philosophie ne s'apprend pas; la philosophie est la réunion des sciences acquises au génie qui les applique. - Alexandre Dumas
Mawazo ya kukata tamaa yanaweza kusababisha tukamtengeneza au kumbuni tena Mungu kwa mfano wetu sisi wenyewe, mfano ambao kwa kawaida ni tofauti kabisa na mfano unaozungumzwa ndani ya Biblia. Hivyo tunaishia kutumikia mfano badala ya kumtumikia Mungu wa kweli. - Enock Maregesi
Ukiwapa watoto wako uhuru wa shaghalabaghala au uhuru wa kila kitu watajisahau! Wape uhuru wa mahesabu. - Enock Maregesi
La politique au milieu des intérêts d'imagination, c'est un coup de pistolet au milieu d'un concert. - Stendhal
Natafuta mwanamke mwenye utu, wema, uaminifu na tabia njema sifa ambazo ataendelea kuwa nazo hata uzeeni. Sifa hizi zinaweza kubadilika kwa sababu ya maisha au kwa sababu ya mapenzi ya Mungu, lakini mabadiliko haya hayatakuwepo kwa haraka. Sura haidumu. Tabia hudumu. - Enock Maregesi
Ce qui m'affecte au plus profond, c'est qu'un vocabulaire trompeur remporte la victoire sur le vocabulaire normal. Le triomphe de la force est terrible; le triomphe de la force dans et par le mensonge est horrible. - Edgar Morin
Wengine hatuishi kama wafalme kwa sababu ya nguvu za giza zilizopo kati ya Mungu na wanadamu. Nyota zetu zimefunikwa. Una kila kitu unachotafuta, ndani ya moyo wako. Usitafute furaha, utajiri au amani nje ya moyo wako. Tafuta furaha, utajiri au amani ndani ya moyo wako. - Enock Maregesi
Njia rahisi ya kujua maana ya ndoto zako ni kurekodi ndoto zako kila siku asubuhi, au kila unapoota, kwa angalau majuma mawili. Baada ya muda huo ndoto zako zitaanza kuleta maana. Lengo lake kubwa ni kukufanya ujitambue. - Enock Maregesi
Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao kwa miezi mitatu au sita angalau. - Enock Maregesi
Au milieu de l'hiver, j'ai découvert en moi un invincible été. - Albert Camus
La joie réside au plus intime de l'âme; on peut aussi bien la posséder dans une obscure prison que dans un palais. - Thérèse de Lisieux
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]