Quotation Explorer - 'Kuk'

Njia rahisi ya kujua maana ya ndoto zako ni kurekodi ndoto zako kila siku asubuhi, au kila unapoota, kwa angalau majuma mawili. Baada ya muda huo ndoto zako zitaanza kuleta maana. Lengo lake kubwa ni kukufanya ujitambue. - Enock Maregesi
Numquam illegitimi carborundum --"Never let the bastards grind you down.-- my old Latin prof Dr. Kuk''s version, other minor variations out there. - mists of time
Toa msamaha kwa waliokukosea kwa sababu dhambi zilizofanya mkosane zilitoka kwa Shetani. - Enock Maregesi
Maombi yako yasipojibiwa usikate tamaa, Mungu alishakusikia na tayari alishaandaa malaika wa kukuletea jibu. Jibu wakati mwingine huchelewa kufika kwa sababu ya nguvu za giza. Usiwe na haraka, muda wako ukifika utajibiwa. - Enock Maregesi
Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda zaidi kuliko unaowapenda. Anayejiua hujifikiria zaidi yeye kuliko wengine. - Enock Maregesi
Anda bilang belajar itu susah. Anda bilang menghafal al-Qur'an itu susah. Anda bilang menulis itu sangat susah dan harus membutuhkan inspirasi yang tepat.kesemuaannya itu, bisa Anda lakukan dengan cara Anda merubah sikap dan diri Anda terlebih dahulu. - karjiel-muarif ahmad
Maamuzi ya Adamu na Hawa ya kutokumtii Mungu juu ya Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya, ndiyo yaliyosababisha Yesu Kristo ajitolee maisha yake ili wengine waweze kuishi. Hakuna Mungu bila Yesu. Mtafute Yesu, kukomboa sura na asili ya Mungu. - Enock Maregesi
Mempelajari pengetahuan itu adalah sama dengan memuji Allah SWT.Menuntut pengetahuan adalah sama dengan melakukan perang di jalan Allah SWT.Mengajarkan pengetahuan adalah sama dengan bersedekah, dan dengan mengajarkan pengetahuan kita akan mendapat pahala. - أبو حامد الغزالي
Apa yang kita lakukan dan tidak kita lakukan hari ini akan menentukan masa depan anak cucu kita, generasi penerus kita selanjutnya; we simply cannot afford the price of inaction and egotism. - Agus Harimurti Yudhoyono
Ningependa maisha yangu yatakapokoma hapa duniani kukumbukwa kama mtu aliyejitahidi kwa kadiri ya uwezo wake wote, kutumia kipaji alichopewa na Mungu. - Enock Maregesi
Toa msaada katika jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo. - Enock Maregesi
Usifanye kazi peke yako wala usiwe mbinafsi! Washirikishe wenzako kukamilisha malengo madhukura ya kadari ya maisha yako. - Enock Maregesi
Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. - Enock Maregesi
Katika maisha watu watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi. - Enock Maregesi
Keep your friends close, enemies closer. Takes little effort to drive a sharp knife through their hearts when they outlive their uselessness! - Akuku Mach Pep
Kebaikan sejati dan tulus adalah kebaikan yang dilakukan tanpa diketahui orang yang menerima kebaikan. - Yoshichi Shimada
Jangan sesalkan hidup kita di dunia ini, kita kan adalah umat yang terpilih dan terbaik di muka bumi ini..So, tetaplah lakukan yang terbaik karena-Nya, agar kita dapat meraih ridho-Nya.. ^_^ - F. Roshinah el-Bintarajieb
Terkadang, memang rasa "pahit"lah yang kita butuhkan untuk menyadarkan kita, bahawa apa yang telah kita lakukan tak seharusnya kita lakukan - pandesatyaa
Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya mtu baada ya mtu kufariki? Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya pumzi katika kipindi ambacho mtu hana uwezo tena wa kuvuta hewa? Nini thamani ya pumzi? Thamani ya pumzi ni kukufanya uwe wewe na si udongo. - Enock Maregesi
Ukiwapa watu kile wanachokitaka wataendelea kukihitaji. - Enock Maregesi
Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa. - Enock Maregesi
Seorang perempuan yang sifatnya jahat tidak pantas diperlakukan sebagai seorang perempuan. [Ramayana Mahabharata, hal. 33] - R.K. Narayan
Merasa diabaikan? Mengapa marah dan resah? Yang perlu kau lakukan hanya terus bersinar, hingga ia tak bisa tak melihat kilau itu. - Helvy Tiana Rosa
Hal yg disenangi dan bikin senang gak harus dilakukan berulang-ulang (sering) tapi berkualitas, makes you happy and satisfied. Satisfied terkadang karena unplanned, bisa dari hati atau spontaneous.. - Setyo Setiaji
Msamaha si kwa ajili ya watu wenye mabawa ya kuku, ni kwa ajili ya watu wenye macho ya tai. Kua kuujua msamaha. - Enock Maregesi
Naisip kong hindi maaaring magkaroon ng perpektong buhay ang isang tao. Hindi natin makukuha ang lahat ng gusto natin. Hindi umaayon ang lahat sa kagustuhan natin. Walang exception doon. - Belle Feliz
Kerjakanlah hal yang kamu cintai, tapi jangan memaksa untuk mencintai apa yang kamu kerjakan. Lakukanlah yang terbaik demi mewujudkan hal yang kamu cintai meski saat ini kamu tidak mencintai pekerjaanmu. Tetap lakukan yang terbaik! - Bennyvck
i DO NOT WHY BUT i KEEP THINKING OF YOU, WHAT DID YOU EVER DO TO ME?I have tried na nikashindwa kukudelete from my system, IMEKATAA.i KNOW YOU HAVE TRIED TOO, IT LEAVES ME WONDERING WHAT IS THESE.It can only be explained by the gods. - Hanimoz Obey
Your success in life solely depends on you ATTITUDE towards everything that life throws your way! - Akuku Mach Pep
Manusia Indonesia tidak jera ditangkap sebagai koruptor, tetapi berpikir besok harus lebih matang strategi korupsinya. Mereka melakukan hal-hal melebihi saran setan dan ajaran iblis, pada saat yang sama bersikap melebihi Tuhan dan Nabi - Emha Ainun Nadjib
Maumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida. - Enock Maregesi
Katakan padaku. Kalau kau sudah minta maaf, tapi permintaan maafmu tidak diterima. Apa yang harus kau lakukan? - Ilana Tan
Kenya DOES NOT belong to 2 tribes only. Kenya has 42 tribes. to say that the decision of 2 tribes is the decision of the whole country is fallacy and outright dictatorship and tribalism, Democracy on Trial - Akuku Mach Pep
aku hanya seorang hamba yang percaya naik-turunnya iman; saat ia naik serasa apapun kan kulakukan, dan disaat ia turun kuharap engkau datang tuk ingatkan. - Muhaimin Ibnu Aziz
Salahkah bila kita membela seseorang yang kita cintai walaupun sesungguhnya kita tahu ia tak memerlukan pembelaan kita,Salahkah bila kita membelai mesra pakaian sang kekasih walau kita tahu pasti pakaian bukanlah kekasih ituLalu salahkan bila kita melakukannya untuk Tuhan? - Gema
Mungu alikupa vipaji ili uwanufaishe wengine na si kujinufaisha mwenyewe, na aliwapa wengine vipaji ili kukunufaisha wewe na si kujinufaisha wenyewe, kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya katika dunia yetu. - Enock Maregesi
Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha. - Enock Maregesi
Mawazo ya kukata tamaa yanaweza kusababisha tukamtengeneza au kumbuni tena Mungu kwa mfano wetu sisi wenyewe, mfano ambao kwa kawaida ni tofauti kabisa na mfano unaozungumzwa ndani ya Biblia. Hivyo tunaishia kutumikia mfano badala ya kumtumikia Mungu wa kweli. - Enock Maregesi
Kitu kikishindikana katika maisha yako kamwe usikate tamaa kwa sababu kushindwa ni mama wa mafanikio na kukata tamaa ni mama wa kushindwa. - Enock Maregesi
Perubahan pada bisnis harus dilakukan terus menerus, begitu juga dengan pemilik bisnis tersebut - IMNIGROUP
Kita semua bisa melakukannya, jika Isra' Mi'raj didefinisikan sebagai perjalanan menuju ruang pemaknaan. Buroqnya? Kesabaran dan pikiran yang terbuka. - Lenang Manggala
Saya tahu tidak menyenangkan, tapi saya bersyukur jika ada sahabat saya mengkritik saya dengan keras atas apa pun yang saya lakukan salah. - Ariel Seraphino
Click any word or name in a quote to explore, or search for more. [JSON] [SOURCE]